Swali: Je, inafaa kwa mwanamke kuporomosha mimba kabla kipomoko hakijaumbwa?
Jibu: Wanachuoni wamesema kuwa inafaa inafaa kuporomosha tone la manii kabla haijatimiza siku arobaini kwa kutumia madawa yanayofaa kwa sharti mimba hiyo iwe bado ni tone la manii. Ama ikishapiga hatua kutoka tone la manii kwenda kipande cha damu na kutoka kipande cha damu kwenda kinofu cha nyama, basi udhahiri wa maneno ya wanachuoni ni kwamba haijuzu.
- Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (14)
- Imechapishwa: 12/06/2020
Swali: Je, inafaa kwa mwanamke kuporomosha mimba kabla kipomoko hakijaumbwa?
Jibu: Wanachuoni wamesema kuwa inafaa inafaa kuporomosha tone la manii kabla haijatimiza siku arobaini kwa kutumia madawa yanayofaa kwa sharti mimba hiyo iwe bado ni tone la manii. Ama ikishapiga hatua kutoka tone la manii kwenda kipande cha damu na kutoka kipande cha damu kwenda kinofu cha nyama, basi udhahiri wa maneno ya wanachuoni ni kwamba haijuzu.
Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (14)
Imechapishwa: 12/06/2020
https://firqatunnajia.com/hapa-haijuzu-kuavya-mimba/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)