Swali 556: Nilimuuliza Shaykh wetu kuhusu mwanamke aliyetalikiwa talaka ya rejea kama anayo haki ya mgawo wa usiku kwa mumewe?
Jibu: Hapana, lakini ana haki ya makazi na matumizi.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 189
- Imechapishwa: 11/03/2025
- Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
Swali 556: Nilimuuliza Shaykh wetu kuhusu mwanamke aliyetalikiwa talaka ya rejea kama anayo haki ya mgawo wa usiku kwa mumewe?
Jibu: Hapana, lakini ana haki ya makazi na matumizi.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 189
Imechapishwa: 11/03/2025
Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
https://firqatunnajia.com/hana-haki-ya-mgawo-wa-usiku/