Swali: Je, mtu anaweza kusema kuwa ´Abdullaah Ibn Haraam (Radhiya Allaahu ´anh) ni kaliymu [msemezwa na] Allaah?
Jibu: Hapana. Hili ni jambo maalum kwa Muusa (´alayhis-Salaam). Hata Mtume wetu mtu hawezi kusema kuwa ni msemezwa na Allaah na kuwa Allaah alimzungumzisha usiku wa Mi´raaj. Mtu hawezi kusema kuwa ni msemezwa na Allaah. Hili ni jambo maalum kwa Muusa (´alayhis-Salaam).
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (48) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mo–1432-04-15.mp3
- Imechapishwa: 16/11/2014
Swali: Je, mtu anaweza kusema kuwa ´Abdullaah Ibn Haraam (Radhiya Allaahu ´anh) ni kaliymu [msemezwa na] Allaah?
Jibu: Hapana. Hili ni jambo maalum kwa Muusa (´alayhis-Salaam). Hata Mtume wetu mtu hawezi kusema kuwa ni msemezwa na Allaah na kuwa Allaah alimzungumzisha usiku wa Mi´raaj. Mtu hawezi kusema kuwa ni msemezwa na Allaah. Hili ni jambo maalum kwa Muusa (´alayhis-Salaam).
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (48) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mo–1432-04-15.mp3
Imechapishwa: 16/11/2014
https://firqatunnajia.com/hakuna-yeyote-anayeitwa-msemezwa-na-allaah-%d9%83%d9%84%d9%8a%d9%85-%d8%a7%d9%84%d9%84%d9%87-isipokuwa-muusa-pekee/