Swali: Mimi naishi kwenye nchi ambayo hakuna wanachuoni wa Ahl-us-Sunnah ambao naweza kujifunza elimu kutoka kwao. Je, inafaa kwangu kusoma baadhi ya elimu kutoka kwa Ahl-ul-Bid´ah hata kama ni mwenye kujilinda kwa Sunnah?
Jibu: Hapana. Utaathirika nao. Ukisoma elimu kutoka kwao utaathirika nao. Usisomi kwao. Hii leo kuwasiliana na wanachuoni imekuwa ni jambo rahisi na waulize mambo yenye kutatiza.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://www.alfawzan.af.org.sa/ar/node/18073
- Imechapishwa: 03/08/2019
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket