Swali: Ni zipi nasaha zako kwa mwanafunzi ambaye anaishi katika nchi ambayo haina wanachuoni katika Ahl-us-Sunnah na badala yake Ahl-ul-Bid´ah kama vile Ibaadhiyyah ndio wengi.
Jibu: Ni wajibu kwako kuwauliza wanachuoni, kuwapigia simu na kusoma vitabu vya Ahl-us-Sunnah. Anatakiwa kusafiri kwenda kutafuta elimu kila wakati anapoweza. Asafiri kwenda katika miji ambayo ina wanachuoni, apige goti chini yao na afaidike kutoka kwao. Vilevile asome kutoka kwenye vitabu vyao na kanda zao. Kwa hayo Allaah (Subhaanahu wa Ta´ala) atamsaidia.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://www.youtube.com/watch?v=oMoaMLGx4k0
- Imechapishwa: 09/12/2017
Swali: Ni zipi nasaha zako kwa mwanafunzi ambaye anaishi katika nchi ambayo haina wanachuoni katika Ahl-us-Sunnah na badala yake Ahl-ul-Bid´ah kama vile Ibaadhiyyah ndio wengi.
Jibu: Ni wajibu kwako kuwauliza wanachuoni, kuwapigia simu na kusoma vitabu vya Ahl-us-Sunnah. Anatakiwa kusafiri kwenda kutafuta elimu kila wakati anapoweza. Asafiri kwenda katika miji ambayo ina wanachuoni, apige goti chini yao na afaidike kutoka kwao. Vilevile asome kutoka kwenye vitabu vyao na kanda zao. Kwa hayo Allaah (Subhaanahu wa Ta´ala) atamsaidia.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://www.youtube.com/watch?v=oMoaMLGx4k0
Imechapishwa: 09/12/2017
https://firqatunnajia.com/hakuna-wanachuoni-salafiyyuun-katika-mji-wako-haya-ndio-unayotakiwa-kufanya/