Swali: Baadhi ya watu wanafanya maalum siku ya ijumaa kwa ajili ya kuyatembelea makaburi?
Jibu: Hapana, halina msingi. Hakuna wakati maalum. Makaburi yanatembelewa kila wakati; wakati wa usiku na wakati wa mchana. Hakuna wakati wake maalum.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/28932/ما-حكم-تخصيص-زيارة-القبور-بيوم-الجمعة
- Imechapishwa: 07/05/2025
Swali: Baadhi ya watu wanafanya maalum siku ya ijumaa kwa ajili ya kuyatembelea makaburi?
Jibu: Hapana, halina msingi. Hakuna wakati maalum. Makaburi yanatembelewa kila wakati; wakati wa usiku na wakati wa mchana. Hakuna wakati wake maalum.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/28932/ما-حكم-تخصيص-زيارة-القبور-بيوم-الجمعة
Imechapishwa: 07/05/2025
https://firqatunnajia.com/hakuna-wakati-maalum-wa-kuyatembelea-makaburi/