Hakuna msingi wa kipaza sauti wakati wa matabano

Swali 47: Kutumia kipaza sauti wakati wa kusoma matabano?

Jibu: Hili halina msingi. Anatakiwa amsomee mtu uso kwa uso ili amfikie upepo na cheche za mate.

  • Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
  • Tarjama: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 39
  • Imechapishwa: 07/08/2025
  • Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´