Swali: Amesema:
“Hakuna njia ya kumfikia Allaah iliyo karibu zaidi kuliko ya ´ibaadah. Hakuna kizuizi kizito zaidi kuliko madai.”
Nini maana ya madai hayo?
Jibu: ´Ibaadah ni unyenyekevu mbele ya Allaah na kumtii. Madai ni mtu kujidai kwamba yeye ni hivi au vile, akajiona au kujisifia kwa matendo yake kuwa yeye ni mcha Allaah, anasimama usiku kwa swalah na anafunga sana. Matokeo yake akatahiniwa kujionyesha na kujiona ana fadhilah kwa Allaah.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/31128/ما-معنى-عبارة-لا-حجاب-اغلظ-من-الدعوى
- Imechapishwa: 04/10/2025
Swali: Amesema:
“Hakuna njia ya kumfikia Allaah iliyo karibu zaidi kuliko ya ´ibaadah. Hakuna kizuizi kizito zaidi kuliko madai.”
Nini maana ya madai hayo?
Jibu: ´Ibaadah ni unyenyekevu mbele ya Allaah na kumtii. Madai ni mtu kujidai kwamba yeye ni hivi au vile, akajiona au kujisifia kwa matendo yake kuwa yeye ni mcha Allaah, anasimama usiku kwa swalah na anafunga sana. Matokeo yake akatahiniwa kujionyesha na kujiona ana fadhilah kwa Allaah.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/31128/ما-معنى-عبارة-لا-حجاب-اغلظ-من-الدعوى
Imechapishwa: 04/10/2025
https://firqatunnajia.com/hakuna-kizuzi-kizito-zaidi-kuliko-madai/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket
