Swali: Je, kumethibiti fadhila za ´ibaadah katika mwezi wa Rajab?
Jibu: Hapana, hakukuthibiti katika mwezi wa Rajab kukhusisha kufanya ´ibaadah yoyote. Rajab ni kama miezi mingine. Hakukuthibiti kukhusisha kufanya ´ibaadah katika Rajab. Kwa sababu Rajab ni kama miezi mingine.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Duruus al-Masjid al-Haram http://www.alfawzan.af.org.sa/node/13980
- Imechapishwa: 04/04/2018
Swali: Je, kumethibiti fadhila za ´ibaadah katika mwezi wa Rajab?
Jibu: Hapana, hakukuthibiti katika mwezi wa Rajab kukhusisha kufanya ´ibaadah yoyote. Rajab ni kama miezi mingine. Hakukuthibiti kukhusisha kufanya ´ibaadah katika Rajab. Kwa sababu Rajab ni kama miezi mingine.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Duruus al-Masjid al-Haram http://www.alfawzan.af.org.sa/node/13980
Imechapishwa: 04/04/2018
https://firqatunnajia.com/hakukhusishwi-ibaadah-yoyote-rajab/