Swali: Wanachuoni wanasema kwamba hakufurishwi mtu kwa dhati yake mpaka yatimie masharti na kuondoke vikwazo au asimamishiwe kwanza hoja. Je, haya ni kweli?
Jibu: Ndio, haya ni kweli. Lakini kusimamikiwa na hoja kunapatikana kwa kufikiwa na Qur-aan kwa njia ambayo ataielewa iwapo kweli atataka kuelewa.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Nawaaqidh-il-Islaam, uk. 34
- Imechapishwa: 25/05/2018
Swali: Wanachuoni wanasema kwamba hakufurishwi mtu kwa dhati yake mpaka yatimie masharti na kuondoke vikwazo au asimamishiwe kwanza hoja. Je, haya ni kweli?
Jibu: Ndio, haya ni kweli. Lakini kusimamikiwa na hoja kunapatikana kwa kufikiwa na Qur-aan kwa njia ambayo ataielewa iwapo kweli atataka kuelewa.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Nawaaqidh-il-Islaam, uk. 34
Imechapishwa: 25/05/2018
https://firqatunnajia.com/hakufurushwi-mtu-mpaka-yatimie-masharti-na-kuondoke-vikwazo/