Swali: Wanachuoni wanasema kwamba hakufurishwi mtu kwa dhati yake mpaka yatimie masharti na kuondoke vikwazo au asimamishiwe kwanza hoja. Je, haya ni kweli?
Jibu: Ndio, haya ni kweli. Lakini kusimamikiwa na hoja kunapatikana kwa kufikiwa na Qur-aan kwa njia ambayo ataielewa iwapo kweli atataka kuelewa.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Nawaaqidh-il-Islaam, uk. 34
- Imechapishwa: 25/05/2018
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)