Swali: Kuna mtu ambaye alikuwa anafanya hajj ya Tamattu’ hakuwa na kichinjwa na hakufunga mpaka hivi sasa. Je, hivi sasa ni lazima afunge?

Jibu: Hapana shaka. Ni jambo limebaki katika dhimma yake. Ni lazima afunge siku kumi.

  • Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (23) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Umdah-13-2-1435-01.mp3
  • Imechapishwa: 28/06/2020