Swali: Kuna mwalimu mwanamke aliwaambia wanafunzi wake ya kwamba hamsamehi mwanamke wala mwanafunzi yeyote kumsengenya. Nikamsengenya halafu nikaenda kumuomba msamaha, lakini akakataa. Nifanye nini? Nini mwenye kujuta na mwenye kuogopa.
Jibu: Inatosha umejuta na kutubia.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Fath-il-Majiyd (59) http://alfawzan.af.org.sa/ar/node/16543
- Imechapishwa: 23/09/2017
Swali: Kuna mwalimu mwanamke aliwaambia wanafunzi wake ya kwamba hamsamehi mwanamke wala mwanafunzi yeyote kumsengenya. Nikamsengenya halafu nikaenda kumuomba msamaha, lakini akakataa. Nifanye nini? Nini mwenye kujuta na mwenye kuogopa.
Jibu: Inatosha umejuta na kutubia.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Fath-il-Majiyd (59) http://alfawzan.af.org.sa/ar/node/16543
Imechapishwa: 23/09/2017
https://firqatunnajia.com/hakubali-msamaha/