Swali: Kuna mwalimu mwanamke aliwaambia wanafunzi wake ya kwamba hamsamehi mwanamke wala mwanafunzi yeyote kumsengenya. Nikamsengenya halafu nikaenda kumuomba msamaha, lakini akakataa. Nifanye nini? Nini mwenye kujuta na mwenye kuogopa.
Jibu: Inatosha umejuta na kutubia.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Fath-il-Majiyd (59) http://alfawzan.af.org.sa/ar/node/16543
- Imechapishwa: 23/09/2017
Swali: Kuna mwalimu mwanamke aliwaambia wanafunzi wake ya kwamba hamsamehi mwanamke wala mwanafunzi yeyote kumsengenya. Nikamsengenya halafu nikaenda kumuomba msamaha, lakini akakataa. Nifanye nini? Nini mwenye kujuta na mwenye kuogopa.
Jibu: Inatosha umejuta na kutubia.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Fath-il-Majiyd (59) http://alfawzan.af.org.sa/ar/node/16543
Imechapishwa: 23/09/2017
https://firqatunnajia.com/hakubali-msamaha/
Mshirikishe mwenzako:
- Share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Print (Opens in new window) Print
- Email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Share on X (Opens in new window) X
- Share on Pocket (Opens in new window) Pocket