Swali: Je, inajuzu kuwasifu makafiri na kuzungumza lugha yao pasi na haja?
Jibu: Haijuzu kuwasifu. Hawatakiwi kusifiwa. Kinyume chake inatakiwa kubainisha ile shirki na kufuru waliyomo, kutahadharisha matendo yao na kujitenga nao mbali.
Kuhusu kuzungumza lugha yao inatakiwa iwe wakati wa haja, kama kulingania katika dini ya Allaah na kipindi mtu analazimika kufanya hivo.
- Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.alharamain.gov.sa//index.cfm?do=cms.AudioDetails&audioid=63284&audiotype=lectures&browseby=speaker
- Imechapishwa: 26/08/2017
Swali: Je, inajuzu kuwasifu makafiri na kuzungumza lugha yao pasi na haja?
Jibu: Haijuzu kuwasifu. Hawatakiwi kusifiwa. Kinyume chake inatakiwa kubainisha ile shirki na kufuru waliyomo, kutahadharisha matendo yao na kujitenga nao mbali.
Kuhusu kuzungumza lugha yao inatakiwa iwe wakati wa haja, kama kulingania katika dini ya Allaah na kipindi mtu analazimika kufanya hivo.
Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://www.alharamain.gov.sa//index.cfm?do=cms.AudioDetails&audioid=63284&audiotype=lectures&browseby=speaker
Imechapishwa: 26/08/2017
https://firqatunnajia.com/haitakiwi-kuwasifu-makafiri/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)