Swali: Nini maana ya neno Lake (´Azza wa Jall):
الزَّانِي لَا يَنكِحُ إِلَّا زَانِيَةً أَوْ مُشْرِكَةً
“Mwanamme mzinifu haowi isipokuwa mwanamke mzinifu au mwanamke mshirikina.” (24:03)
Je, ina maana ya kwamba imeruhusiwa kwake jambo hili?
Jibu: Hapana. Haina maana kwamba amepewa idhini ya kufanya hivo. Hapa kunaenezwa hali ilivyo kwa lengo la kumzuia. Sio kwa lengo la kuruhusu ya kwamba imeruhusiwa kwake kumuoa mzinifu.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (67) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Ighastah22-05-1438h.mp3
- Imechapishwa: 18/10/2017
Swali: Nini maana ya neno Lake (´Azza wa Jall):
الزَّانِي لَا يَنكِحُ إِلَّا زَانِيَةً أَوْ مُشْرِكَةً
“Mwanamme mzinifu haowi isipokuwa mwanamke mzinifu au mwanamke mshirikina.” (24:03)
Je, ina maana ya kwamba imeruhusiwa kwake jambo hili?
Jibu: Hapana. Haina maana kwamba amepewa idhini ya kufanya hivo. Hapa kunaenezwa hali ilivyo kwa lengo la kumzuia. Sio kwa lengo la kuruhusu ya kwamba imeruhusiwa kwake kumuoa mzinifu.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (67) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Ighastah22-05-1438h.mp3
Imechapishwa: 18/10/2017
https://firqatunnajia.com/hairuhusu-kumuoa-malaya/