Imaam at-Twahaawiyyah (Rahimahu Allaah) amesema:
“[Allaah] ni wa kale bila ya kuwa na mwanzo.”
Neno wa kale (al-Qadiym) halikuthibiti kuwa ni katika majina ya Allaah. Limezushwa na wanafalsafa. Lililothibiti ni “wa mwanzo” (al-Awwal) na “wa mwisho” (al-Aakhir). Haya ni majina mawili ya milele na yenye kudumu.
- Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajhiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Hidaayah ar-Rabbaaniyyah fiy Sharh al-´Aqiydah at-Twahaawiyyah (01/50)
- Imechapishwa: 07/06/2020
Imaam at-Twahaawiyyah (Rahimahu Allaah) amesema:
“[Allaah] ni wa kale bila ya kuwa na mwanzo.”
Neno wa kale (al-Qadiym) halikuthibiti kuwa ni katika majina ya Allaah. Limezushwa na wanafalsafa. Lililothibiti ni “wa mwanzo” (al-Awwal) na “wa mwisho” (al-Aakhir). Haya ni majina mawili ya milele na yenye kudumu.
Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajhiy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Hidaayah ar-Rabbaaniyyah fiy Sharh al-´Aqiydah at-Twahaawiyyah (01/50)
Imechapishwa: 07/06/2020
https://firqatunnajia.com/haikuthibiti-al-qadiym-katika-majina-ya-allaah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket
