Imaam at-Twahaawiyyah (Rahimahu Allaah) amesema:
“[Allaah] ni wa kale bila ya kuwa na mwanzo.”
Neno wa kale (al-Qadiym) halikuthibiti kuwa ni katika majina ya Allaah. Limezushwa na wanafalsafa. Lililothibiti ni “wa mwanzo” (al-Awwal) na “wa mwisho” (al-Aakhir). Haya ni majina mawili ya milele na yenye kudumu.
- Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajhiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Hidaayah ar-Rabbaaniyyah fiy Sharh al-´Aqiydah at-Twahaawiyyah (01/50)
- Imechapishwa: 07/06/2020
Imaam at-Twahaawiyyah (Rahimahu Allaah) amesema:
“[Allaah] ni wa kale bila ya kuwa na mwanzo.”
Neno wa kale (al-Qadiym) halikuthibiti kuwa ni katika majina ya Allaah. Limezushwa na wanafalsafa. Lililothibiti ni “wa mwanzo” (al-Awwal) na “wa mwisho” (al-Aakhir). Haya ni majina mawili ya milele na yenye kudumu.
Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajhiy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Hidaayah ar-Rabbaaniyyah fiy Sharh al-´Aqiydah at-Twahaawiyyah (01/50)
Imechapishwa: 07/06/2020
https://firqatunnajia.com/haikuthibiti-al-qadiym-katika-majina-ya-allaah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)