Swali: Nimesikia kwamba haijuzu kwa mwanaume kumbusu yeyote miongoni Mahaarim wake isipokuwa mke wake, hata dada yake au msichana yake haruhusiwi kumbusu. Je, hilo ni sahihi?
Jibu: Hili halina msingi. Inajuzu kumbusu Mahaarim wake kama mama yake, shangazi yake na dada yake. Hakuna tatizo katika hilo. Lakini akimbusu dada yake au msichana wake, basi iwe shavuni, puani au kichwani. Hilo ndio bora zaidi. Ama busu mdomoni, kuliacha ndilo bora zaidi.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/1465/حكم-تقبيل-المحارم
- Imechapishwa: 20/12/2025
Swali: Nimesikia kwamba haijuzu kwa mwanaume kumbusu yeyote miongoni Mahaarim wake isipokuwa mke wake, hata dada yake au msichana yake haruhusiwi kumbusu. Je, hilo ni sahihi?
Jibu: Hili halina msingi. Inajuzu kumbusu Mahaarim wake kama mama yake, shangazi yake na dada yake. Hakuna tatizo katika hilo. Lakini akimbusu dada yake au msichana wake, basi iwe shavuni, puani au kichwani. Hilo ndio bora zaidi. Ama busu mdomoni, kuliacha ndilo bora zaidi.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/1465/حكم-تقبيل-المحارم
Imechapishwa: 20/12/2025
https://firqatunnajia.com/haijuzu-kwa-mwanaume-kuwabusu-mahaarim-wake/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket