Swali: Ni ipi hukumu ya anayewasiliana na mashaytwaan ambao wanamweleza kuhusu vitu vilivyopotea na vilivyoibiwa?
Jibu: Haijuzu kuwauliza wala kuwaendea. Haifai kuwauliza kuhusu vitu vilivyoibiwa wala vilipo vilivyopotea. Kitendo hicho ni batili. Haijuzu kuwauliza.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24555/حكم-الاستعانة-بمن-يتصلون-بالشياطين
- Imechapishwa: 31/10/2024
Swali: Ni ipi hukumu ya anayewasiliana na mashaytwaan ambao wanamweleza kuhusu vitu vilivyopotea na vilivyoibiwa?
Jibu: Haijuzu kuwauliza wala kuwaendea. Haifai kuwauliza kuhusu vitu vilivyoibiwa wala vilipo vilivyopotea. Kitendo hicho ni batili. Haijuzu kuwauliza.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24555/حكم-الاستعانة-بمن-يتصلون-بالشياطين
Imechapishwa: 31/10/2024
https://firqatunnajia.com/haijuzu-kuwauliza-kitu-mashaytwaan/