Swali: Je, inajuzu kuswali nyuma ya mtu ambaye anajuzisha kuomba du´aa kwa asiyekuwa Allaah na anaweka wakati na kati baina yake na Allaah?
Jibu: Huyu ni mshirikina. Swalah ya mshirikina si sahihi na haisihi akawa imamu mpaka atubu kwa Allaah (´Azza wa Jall) na amtakasie ´ibaadah Allaah na aache shirki.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/sfranih_08.mp3
- Imechapishwa: 21/06/2018
Swali: Je, inajuzu kuswali nyuma ya mtu ambaye anajuzisha kuomba du´aa kwa asiyekuwa Allaah na anaweka wakati na kati baina yake na Allaah?
Jibu: Huyu ni mshirikina. Swalah ya mshirikina si sahihi na haisihi akawa imamu mpaka atubu kwa Allaah (´Azza wa Jall) na amtakasie ´ibaadah Allaah na aache shirki.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/sfranih_08.mp3
Imechapishwa: 21/06/2018
https://firqatunnajia.com/haijuzu-kuswali-nyuma-ya-mshirikina/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket