Swali: Je, inafaa kupungusa ndevu au kukata kitu humo? Kipi kinachomlazimu ambaye amefanya hivo?
Jibu: Haijuzu. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Punguzeni masharubu na refusheni ndevu.”
“Jitofautisheni na washirikina.”
“Jitofautisheni na waabudia moto.”
Hadiyth ni zenye kuenea. Pia amesema (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
“Fugeni ndevu.”
“Ziacheni ndevu.”
“Zirefusheni ndevu.”
- Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (22)
- Imechapishwa: 22/10/2021
Swali: Je, inafaa kupungusa ndevu au kukata kitu humo? Kipi kinachomlazimu ambaye amefanya hivo?
Jibu: Haijuzu. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Punguzeni masharubu na refusheni ndevu.”
“Jitofautisheni na washirikina.”
“Jitofautisheni na waabudia moto.”
Hadiyth ni zenye kuenea. Pia amesema (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
“Fugeni ndevu.”
“Ziacheni ndevu.”
“Zirefusheni ndevu.”
Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (22)
Imechapishwa: 22/10/2021
https://firqatunnajia.com/haijuzu-kupunguza-ndevu/