Swali: Ni lini inajuzu kufanya uasi kwa mtawala na ni masharti yepi ya kumfanyia uasi?
Jibu: Ee ndugu! Haijuzu kufanya uasi kwa mtawala. Haijuzu kufanya uasi kwa mtawala kamwe. Lakini hata hivyo akikufuru kufuru ya wazi wazi, bay´ah yake inavunjika na anakuwa hana bay´ah. Ama kuhusu kufanya uasi kwa mtawala haijuzu.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Aqiydat-is-Saffaariniyyah (14) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/sfranih_14.mp3
- Imechapishwa: 14/06/2018
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)