Swali: Ni ipi hukumu ikikosekana sharti moja miongoni mwa masharti ya uongozi na khaswa sharti ya Uislamu?
Jibu: Haijuzu kumpa bay´ah asiyekuwa Muislamu. Haijuzu kumfanya asiyekuwa Muislamu kuwa kiongozi wa Waislamu. Kadhalika ikiwa atapewa bay´ah ilihali ni Muislamu na akakufuru, bay´ah yake inavunjika.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Aqiydat-is-Saffaariniyyah (14) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/sfranih_14.mp3
- Imechapishwa: 15/06/2015
Swali: Ni ipi hukumu ikikosekana sharti moja miongoni mwa masharti ya uongozi na khaswa sharti ya Uislamu?
Jibu: Haijuzu kumpa bay´ah asiyekuwa Muislamu. Haijuzu kumfanya asiyekuwa Muislamu kuwa kiongozi wa Waislamu. Kadhalika ikiwa atapewa bay´ah ilihali ni Muislamu na akakufuru, bay´ah yake inavunjika.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Aqiydat-is-Saffaariniyyah (14) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/sfranih_14.mp3
Imechapishwa: 15/06/2015
https://firqatunnajia.com/haijuzu-kumfanya-kafiri-akawa-kiongozi-wa-waislamu/