Swali: Je, inajuzu kufanya uasi kwa mtawala mtenda dhambi ambaye ameahidiwa usikivu na utiifu ikiwa kuna uwezekano wa kujinasua naye pasina kumwaga damu?
Jibu: Haijuzu kufanya uasi kwa mtawala, hata kama atakuwa mtenda dhambi. Haitakikani kusema kuwa yatapitika pasi na kumwagika damu. Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) ameidhinisha tu kufanya uasi kwa mtawala ambaye amefanya kufuru ya wazi kabisa.
- Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-Muhsin bin Hamad al-´Abbaad
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Kanda ”al-Hamalaat al-I´laaniyyah dhiwdd Hukkaam wa ´Ulamaa’ Bilaad-il-Haramayn”
- Imechapishwa: 05/09/2020
Swali: Je, inajuzu kufanya uasi kwa mtawala mtenda dhambi ambaye ameahidiwa usikivu na utiifu ikiwa kuna uwezekano wa kujinasua naye pasina kumwaga damu?
Jibu: Haijuzu kufanya uasi kwa mtawala, hata kama atakuwa mtenda dhambi. Haitakikani kusema kuwa yatapitika pasi na kumwagika damu. Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) ameidhinisha tu kufanya uasi kwa mtawala ambaye amefanya kufuru ya wazi kabisa.
Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-Muhsin bin Hamad al-´Abbaad
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Kanda ”al-Hamalaat al-I´laaniyyah dhiwdd Hukkaam wa ´Ulamaa’ Bilaad-il-Haramayn”
Imechapishwa: 05/09/2020
https://firqatunnajia.com/haijuzu-kufanya-uasi-kwa-mtawala-mtenda-dhambi/