Swali: Baadhi ya vijana wanasema kuwa inajuzu kuuza vitabu vya Ahl-ul-Bid´ah kwa kuwa ndani yake mna kheri na shari…
Jibu: Haijuzu kueneza vitabu vya Ahl-ul-Bid´ah. Bali ni wajibu kuvichana na kuvipigia marufuku kuingia katika miji ya Waislamu ili visije kuwafitinisha watu na vikanunua wajinga na wakafikiria kuwa ni haki. Inatakiwa kuvichukulia hatua na kupigiwa marufuku.
Kwa ajili hiyo ndio maana leo kuna uchungaji wa vitabu na haviruhusiwi isipokuwa vitabu vyenye kuaminika na vyenye kunufaisha.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Kitaab Ahaadiyth-il-Fitnah http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/al_fitan%201-10-08-1433.mp3
- Imechapishwa: 21/04/2015
Swali: Baadhi ya vijana wanasema kuwa inajuzu kuuza vitabu vya Ahl-ul-Bid´ah kwa kuwa ndani yake mna kheri na shari…
Jibu: Haijuzu kueneza vitabu vya Ahl-ul-Bid´ah. Bali ni wajibu kuvichana na kuvipigia marufuku kuingia katika miji ya Waislamu ili visije kuwafitinisha watu na vikanunua wajinga na wakafikiria kuwa ni haki. Inatakiwa kuvichukulia hatua na kupigiwa marufuku.
Kwa ajili hiyo ndio maana leo kuna uchungaji wa vitabu na haviruhusiwi isipokuwa vitabu vyenye kuaminika na vyenye kunufaisha.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Kitaab Ahaadiyth-il-Fitnah http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/al_fitan%201-10-08-1433.mp3
Imechapishwa: 21/04/2015
https://firqatunnajia.com/haijuzu-kueneza-vitabu-vya-ahl-ul-bidah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)