Swali: Vipi kuhusu kuapa kwa Mtume (و النبي) ?
Jibu: Hiki ni kiapo. Haijuzu. Haijuzu kuapa isipokuwa kwa jina la Allaah. Amesema (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
“Mwenye kuapa basi aape kwa Allaah au anyamaze.”
“Mwenye kuapa kwa asiyekuwa Allaah amekufuru au kushirikisha.”
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Liqaa’ al-Maftuuh fiy Masjid Qubaa’ http://alfawzan.af.org.sa/ar/node/17626
- Imechapishwa: 24/02/2018
Swali: Vipi kuhusu kuapa kwa Mtume (و النبي) ?
Jibu: Hiki ni kiapo. Haijuzu. Haijuzu kuapa isipokuwa kwa jina la Allaah. Amesema (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
“Mwenye kuapa basi aape kwa Allaah au anyamaze.”
“Mwenye kuapa kwa asiyekuwa Allaah amekufuru au kushirikisha.”
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Liqaa’ al-Maftuuh fiy Masjid Qubaa’ http://alfawzan.af.org.sa/ar/node/17626
Imechapishwa: 24/02/2018
https://firqatunnajia.com/haijuzu-kuapa-kwa-mtume/