706 – Nilimuuliza Shaykh wetu kuhusu anayejikinga kutokana na shaytwaan baada ya kupiga miayo?
Jibu: Haikupokelewa. Hata hivyo hapana vibaya akifanya hivo kwa sababu inatokana na shaytwaan.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 248
- Imechapishwa: 04/07/2025
- Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
706 – Nilimuuliza Shaykh wetu kuhusu anayejikinga kutokana na shaytwaan baada ya kupiga miayo?
Jibu: Haikupokelewa. Hata hivyo hapana vibaya akifanya hivo kwa sababu inatokana na shaytwaan.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 248
Imechapishwa: 04/07/2025
Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
https://firqatunnajia.com/haijapokelewa/