Swali: Je, inafaa katika Tashahhud ya mwisho mswaliji akatosheka na kusema:
اللهم صل على محمد
”Ee Allaah! Msifu Muhammad.”
pasi na kutaja mamkizi yaliyosalia ya Ibraahiym (الصلاة الإبراهيمية)?
Jibu: Hapana. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) aliwafunza mamkizi ya Ibraahiym. Kama mswaliji yuko na nafasi ni lazima aisome yote kama ambavo Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) aliwafunza Maswahabah zake kama ilivyokuja katika Hadiyth ya Ibn Mas´uud (Radhiya Allaahu ´anh).
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (43)
- Imechapishwa: 05/07/2024
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)