Swali: Ipo Hadiyth ambayo hutumiwa na Jamaa´at-ut-Tabliygh:
“Atakayeswali zile mbili za baridi ataingia Peponi.”
Je, ni Swahiyh?
Jibu: Ni Swahiyh. Imepokelewa na al-Bukhaariy. Makusudio ya zile mbili za baridi ni Fajr na ´Aswr. Hadiyth hii sio ya ajabu. Inahusiana na fadhilah za matendo mema. Ni Hadiyth Swahiyh. Laiti Hadiyth za Jamaa´at-ut-Tabliygh inapokuja katika usahihi zingelikuwa kama hii. Nyingi katika Hadiyth zao hazikuthibiti. Kuhusu Hadiyth hii ni Swahiyh.
- Muhusika: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Silsilat-ul-Hudaa wan-Nuur (955) Tarehe: 1411-01-29/1990-08-20
- Imechapishwa: 10/10/2021
Swali: Ipo Hadiyth ambayo hutumiwa na Jamaa´at-ut-Tabliygh:
“Atakayeswali zile mbili za baridi ataingia Peponi.”
Je, ni Swahiyh?
Jibu: Ni Swahiyh. Imepokelewa na al-Bukhaariy. Makusudio ya zile mbili za baridi ni Fajr na ´Aswr. Hadiyth hii sio ya ajabu. Inahusiana na fadhilah za matendo mema. Ni Hadiyth Swahiyh. Laiti Hadiyth za Jamaa´at-ut-Tabliygh inapokuja katika usahihi zingelikuwa kama hii. Nyingi katika Hadiyth zao hazikuthibiti. Kuhusu Hadiyth hii ni Swahiyh.
Muhusika: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Silsilat-ul-Hudaa wan-Nuur (955) Tarehe: 1411-01-29/1990-08-20
Imechapishwa: 10/10/2021
https://firqatunnajia.com/hadiyth-za-jamaaat-ut-tabliygh/