Swali: Kufanya fujo katika idadi ya chakula cha futari kunapunguza thawabu za swawm?
Jibu: Hakunpunguzi thawabu za swawm. Kitendo cha haramu baada ya kumaliza funga hakunpunguzi thawabu zake. Lakini hata hivyo hilo linaingia katika maneno Yake (Ta´ala):
وَكُلُوا وَاشْرَبُوا وَلَا تُسْرِفُوا ۚ إِنَّهُ لَا يُحِبُّ الْمُسْرِفِينَ
“Kuleni na kunyweni na wala msifanye israfu. Hakika Yeye hapendi wanaofanya israfu.” (07:31)
Israfu yenyewe imekatazwa. Uchumi ni nusu ya maisha. Ikiwa wako na neema basi waitoe swadaqah, kwani hilo ni bora.
- Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (19/362)
- Imechapishwa: 13/06/2017
Swali: Kufanya fujo katika idadi ya chakula cha futari kunapunguza thawabu za swawm?
Jibu: Hakunpunguzi thawabu za swawm. Kitendo cha haramu baada ya kumaliza funga hakunpunguzi thawabu zake. Lakini hata hivyo hilo linaingia katika maneno Yake (Ta´ala):
وَكُلُوا وَاشْرَبُوا وَلَا تُسْرِفُوا ۚ إِنَّهُ لَا يُحِبُّ الْمُسْرِفِينَ
“Kuleni na kunyweni na wala msifanye israfu. Hakika Yeye hapendi wanaofanya israfu.” (07:31)
Israfu yenyewe imekatazwa. Uchumi ni nusu ya maisha. Ikiwa wako na neema basi waitoe swadaqah, kwani hilo ni bora.
Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (19/362)
Imechapishwa: 13/06/2017
https://firqatunnajia.com/futari-ya-fujo-inapunguza-thawabu-za-mfungaji/