Swali: Je, inafaa kwa muislamu kufungua mgahawa katika nchi isiyokuwa ya waislamu mchana wa Ramadhaan kuwafungulia makafiri?
Jibu: Ndugu mpenzi muislamu! Wewe umefunga. Mchana kwako ni wenye kuheshimiwa. Makafiri hawa hawauheshimu. Wanaukiuka. Kwa sababu wao kimsingi si wenye kuwalazimu katika wakati kama huu. Ni makafiri. Masuala ya kwamba mataga ya Shari´ah ni yenye kuwagusa tumekwishawazungumzieni na hatutaki mturudishe tena huko. Usiwasaidie kukiuka heshima ya michana hii ilihali wewe ni muislamu. Fungua badala yake mida ya jioni.
- Mhusika: Shaykh Muhammad bin Haadiy al-Madkhaliy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://www.youtube.com/watch?v=Gi8-wIY2jn4
- Imechapishwa: 22/05/2018
Swali: Je, inafaa kwa muislamu kufungua mgahawa katika nchi isiyokuwa ya waislamu mchana wa Ramadhaan kuwafungulia makafiri?
Jibu: Ndugu mpenzi muislamu! Wewe umefunga. Mchana kwako ni wenye kuheshimiwa. Makafiri hawa hawauheshimu. Wanaukiuka. Kwa sababu wao kimsingi si wenye kuwalazimu katika wakati kama huu. Ni makafiri. Masuala ya kwamba mataga ya Shari´ah ni yenye kuwagusa tumekwishawazungumzieni na hatutaki mturudishe tena huko. Usiwasaidie kukiuka heshima ya michana hii ilihali wewe ni muislamu. Fungua badala yake mida ya jioni.
Mhusika: Shaykh Muhammad bin Haadiy al-Madkhaliy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://www.youtube.com/watch?v=Gi8-wIY2jn4
Imechapishwa: 22/05/2018
https://firqatunnajia.com/fungua-mgahawa-jioni-ramadhaan-na-mchana-funga/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)