Swali: Kuna mtu amefikisha kile kiwango cha kutoa zakaah, hata hivyo ni fakiri. Je, ni halali kwake kupokea zakaah?

Jibu: Sio kila ambaye inafaa kwake kupokea zakaah haifai kwake kutoa zakaah. Katika hali hiyo yeye atatoa zakaah na kupewa zakaah.

  • Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
  • Tarjama: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (18/340)
  • Imechapishwa: 10/05/2026