Swali 201: Kikosi cha watu waliokaa katika mji kwa siku moja au mbili – je, wanatakiwa kuswali swalah ya mkusanyiko?
Jibu: Hakuna ubaya ikiwa wataswali kwa mkusanyiko. Lililo bora zaidi ni kwamba waswali mkusanyiko Fajr na Maghrib, kwa sababu ni swalah zisizofupishwa. Ama msafiri mmoja, basi inamlazimu kuswali kwa mkusanyiko.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 86
- Imechapishwa: 19/04/2025
- Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket