Kujua ´Aqiydah ya Ahl-us-Sunnah wal-Jamaa´ah inapokuja katika imani kunamzuia mtu kutumbukia katika upotevu wa kukufurisha kwa kufanya maasi au kwa kukufurisha kwa yasiyokuwa yenye kukafirisha. Kwa hivyo yule ambaye anaelewa ´Aqiydah ya Ahl-us-Sunnah wal-Jamaa´ah katika imani utatengemaa ulimi na akili yake kutokamana na kuingia katika upetukaji mipaka na ukafirishaji na kufuata mapote potofu ambayo yameenda kuwakufurisha waislamu na wakaingiza katika Uislamu na imani wasiokuwa waislamu wala waumini.
- Mhusika: Shaykh Swaalih bin ´Abdil-´Aziyz Aalish-Shaykh
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Lum´at-il-I´tiqaad, uk. 114
- Imechapishwa: 28/08/2020
Kujua ´Aqiydah ya Ahl-us-Sunnah wal-Jamaa´ah inapokuja katika imani kunamzuia mtu kutumbukia katika upotevu wa kukufurisha kwa kufanya maasi au kwa kukufurisha kwa yasiyokuwa yenye kukafirisha. Kwa hivyo yule ambaye anaelewa ´Aqiydah ya Ahl-us-Sunnah wal-Jamaa´ah katika imani utatengemaa ulimi na akili yake kutokamana na kuingia katika upetukaji mipaka na ukafirishaji na kufuata mapote potofu ambayo yameenda kuwakufurisha waislamu na wakaingiza katika Uislamu na imani wasiokuwa waislamu wala waumini.
Mhusika: Shaykh Swaalih bin ´Abdil-´Aziyz Aalish-Shaykh
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Lum´at-il-I´tiqaad, uk. 114
Imechapishwa: 28/08/2020
https://firqatunnajia.com/faida-ya-kujua-masuala-ya-imani-kwa-mujibu-wa-ahl-us-sunnah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)