Mwanaume na mwanamke kuswali katikati ya usiku ndani yake kunakuwa na kuizingatia Qur-aan, kumnong´oneza Allaah na kunapatikana kutiririka kwa machozi kwa kumuogopa Allaah (´Azza wa Jall). Kwa kuwa mtu anakuwa na yakini kwamba kweli amesimama kwa ajili ya Allaah peke Yake (Jalla wa ´Alaa).
- Muhusika: Shaykh Swaalih bin ´Abdil-´Aziyz Aalush-Shaykh
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh al-Arba´iyn an-Nawawiyyah, uk. 408
- Imechapishwa: 14/05/2020
Mwanaume na mwanamke kuswali katikati ya usiku ndani yake kunakuwa na kuizingatia Qur-aan, kumnong´oneza Allaah na kunapatikana kutiririka kwa machozi kwa kumuogopa Allaah (´Azza wa Jall). Kwa kuwa mtu anakuwa na yakini kwamba kweli amesimama kwa ajili ya Allaah peke Yake (Jalla wa ´Alaa).
Muhusika: Shaykh Swaalih bin ´Abdil-´Aziyz Aalush-Shaykh
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh al-Arba´iyn an-Nawawiyyah, uk. 408
Imechapishwa: 14/05/2020
https://firqatunnajia.com/faida-inayopatikana-kwa-wanandoa-kuamka-kuswali-usiku/