Mwanaume na mwanamke kuswali katikati ya usiku ndani yake kunakuwa na kuizingatia Qur-aan, kumnong´oneza Allaah na kunapatikana kutiririka kwa machozi kwa kumuogopa Allaah (´Azza wa Jall). Kwa kuwa mtu anakuwa na yakini kwamba kweli amesimama kwa ajili ya Allaah peke Yake (Jalla wa ´Alaa).
- Muhusika: Shaykh Swaalih bin ´Abdil-´Aziyz Aalush-Shaykh
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh al-Arba´iyn an-Nawawiyyah, uk. 408
- Imechapishwa: 14/05/2020
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket