Swali: Baadhi ya watu hufunga baadhi ya siku za Rajab wakitoa dalili kwa Hadiyth isemayo:
اللهم بارك لنا في رجب، وشعبان، وبلغنا رمضان
“Ee Allaah tubarikie katika Rajab na Sha’baan na utufikishe Ramadhaan.”
Ni upi usahihi wa Hadiyth hii?
Jibu: Hadiyth hiyo ni dhaifu, si Swahiyh na haina hoja.
“Ee Allaah tubarikie katika Rajab… ”
haina dalili ya kuifanya Rajab itengewe ´ibaadah maalumu. Zaidi ya hayo Hadiyth yenyewe ni dhaifu.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/2757/درجة-حديث-اللهم-بارك-لنا-في-رجب-وشعبان
- Imechapishwa: 14/02/2026
Swali: Baadhi ya watu hufunga baadhi ya siku za Rajab wakitoa dalili kwa Hadiyth isemayo:
اللهم بارك لنا في رجب، وشعبان، وبلغنا رمضان
“Ee Allaah tubarikie katika Rajab na Sha’baan na utufikishe Ramadhaan.”
Ni upi usahihi wa Hadiyth hii?
Jibu: Hadiyth hiyo ni dhaifu, si Swahiyh na haina hoja.
“Ee Allaah tubarikie katika Rajab… ”
haina dalili ya kuifanya Rajab itengewe ´ibaadah maalumu. Zaidi ya hayo Hadiyth yenyewe ni dhaifu.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/2757/درجة-حديث-اللهم-بارك-لنا-في-رجب-وشعبان
Imechapishwa: 14/02/2026
https://firqatunnajia.com/ee-allaah-tubarikie-katika-rajab-na-shabaan-na-utufikishe-ramadhaan/
Mshirikishe mwenzako:
- Share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Print (Opens in new window) Print
- Email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Share on X (Opens in new window) X
- Share on Pocket (Opens in new window) Pocket