Swali: Imamu anaomba du´aa baada ya kumaliza kuswali na maamuma wakaitikia ”Aamiyn.” Ni ipi hukumu ya hilo?
Jibu: Ni Bid´ah. Ni Bid´ah ambayo ni lazima iachwe.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (98) https://www.alfawzan.af.org.sa/ar/node/18006
- Imechapishwa: 06/02/2021
Swali: Imamu anaomba du´aa baada ya kumaliza kuswali na maamuma wakaitikia ”Aamiyn.” Ni ipi hukumu ya hilo?
Jibu: Ni Bid´ah. Ni Bid´ah ambayo ni lazima iachwe.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (98) https://www.alfawzan.af.org.sa/ar/node/18006
Imechapishwa: 06/02/2021
https://firqatunnajia.com/duaa-za-pamoja-baada-ya-swalah/