Swali: Mimi ni mwenye kumtendea wema baba yangu pamoja na hivyo mara nyingi ananiombea du´aa mbaya. Je, du´aa hiyo itanigusa?
Jibu: Ikiwa si mwenye kumkosea katika haki yake, du´aa yake dhidi yako haipokelewi. Ama ikiwa mwenye kumkosea katika haki yake, basi ni juu yako kujirudi na kutengeneza yale yaliyoko kati yako wewe na yeye.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (82) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Ighastah-08-3-1439-01.mp3
- Imechapishwa: 11/02/2018
Swali: Mimi ni mwenye kumtendea wema baba yangu pamoja na hivyo mara nyingi ananiombea du´aa mbaya. Je, du´aa hiyo itanigusa?
Jibu: Ikiwa si mwenye kumkosea katika haki yake, du´aa yake dhidi yako haipokelewi. Ama ikiwa mwenye kumkosea katika haki yake, basi ni juu yako kujirudi na kutengeneza yale yaliyoko kati yako wewe na yeye.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (82) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Ighastah-08-3-1439-01.mp3
Imechapishwa: 11/02/2018
https://firqatunnajia.com/duaa-ya-mzazi-dhidi-ya-mtoto-wake/