Swali 705: Je, du´aa ya kafara[1] ya kikao inafuta dhambi ya usengenyi?
Jibu: Hapana, haifuti haki ya mtu mwingine. Ni lazima kusamehewa kutoka kwao. Ama kati ya mja na Mola wake inafutwa kwa hiyo.
[1] Tazama https://firqatunnajia.com/85-kafara-ya-kikao/
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 248
- Imechapishwa: 04/07/2025
- Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
Swali 705: Je, du´aa ya kafara[1] ya kikao inafuta dhambi ya usengenyi?
Jibu: Hapana, haifuti haki ya mtu mwingine. Ni lazima kusamehewa kutoka kwao. Ama kati ya mja na Mola wake inafutwa kwa hiyo.
[1] Tazama https://firqatunnajia.com/85-kafara-ya-kikao/
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 248
Imechapishwa: 04/07/2025
Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
https://firqatunnajia.com/duaa-ya-kikao-inafuta-usengenyi/