Swali: Du´aa inayotambulika inayosomwa baada ya adhaana[1] inasomwa pia baada ya Iqaamah?
Jibu: Ndio, kwa sababu Iqaamah pia ni adhaana timilifu. Iqaamah ni utambulisho wa kuwadia wakati wa kuswali. Adhaana ni utambulisho wa kuwadia kuingia wakati wa swalah. Kwa ajili hiyo Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Ipo swalah baina ya kila adhaana mbili.”
Iqaamah pia huitwa adhaana.
[1] Tazama https://firqatunnajia.com/15-adhkaar-za-adhaana/
- Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (17)
- Imechapishwa: 06/11/2020
Swali: Du´aa inayotambulika inayosomwa baada ya adhaana[1] inasomwa pia baada ya Iqaamah?
Jibu: Ndio, kwa sababu Iqaamah pia ni adhaana timilifu. Iqaamah ni utambulisho wa kuwadia wakati wa kuswali. Adhaana ni utambulisho wa kuwadia kuingia wakati wa swalah. Kwa ajili hiyo Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Ipo swalah baina ya kila adhaana mbili.”
Iqaamah pia huitwa adhaana.
[1] Tazama https://firqatunnajia.com/15-adhkaar-za-adhaana/
Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (17)
Imechapishwa: 06/11/2020
https://firqatunnajia.com/duaa-ya-adhaana-baada-ya-kukimiwa-swalah/