Swali: Nilihitaji mkopo wa pesa na sikupata wa kunikopesha. Bwana mmoja akanambia kuwa atanikopa kwa dola kwa sharti nitalipa kwa SAR na akahesabu dola 1 kwa SAR 5 na kwamba nitalipa kwa awamu. Kama inavyotambulika dola…
Jibu: Usikamishe. Hii ni ribaa. Haijuzu. Ni ribaa. Haifa.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/21689/ما-حكم-من-اقترض-بالدولار-وسدد-بالريال
- Imechapishwa: 16/09/2022
Swali: Nilihitaji mkopo wa pesa na sikupata wa kunikopesha. Bwana mmoja akanambia kuwa atanikopa kwa dola kwa sharti nitalipa kwa SAR na akahesabu dola 1 kwa SAR 5 na kwamba nitalipa kwa awamu. Kama inavyotambulika dola…
Jibu: Usikamishe. Hii ni ribaa. Haijuzu. Ni ribaa. Haifa.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/21689/ما-حكم-من-اقترض-بالدولار-وسدد-بالريال
Imechapishwa: 16/09/2022
https://firqatunnajia.com/dola-1-kwa-sar-5/