Swali: Ibn-ul-Qayyim ameongeza katika “Zaad-ul-Ma´aad” kwamba Rak´ah mbili za Dhuhaa ni Sunnah iliyokokotezwa. Je, ni Sunnah?
Jibu: Ni Sunnah iliyokokotezwa.
Swali: Iswaliwe kwa kuendelea au baadhi ya siku?
Jibu: Kwa mwendelezo.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23364/هل-ركعتا-الضحى-سنة-موكدة
- Imechapishwa: 04/01/2024
Swali: Ibn-ul-Qayyim ameongeza katika “Zaad-ul-Ma´aad” kwamba Rak´ah mbili za Dhuhaa ni Sunnah iliyokokotezwa. Je, ni Sunnah?
Jibu: Ni Sunnah iliyokokotezwa.
Swali: Iswaliwe kwa kuendelea au baadhi ya siku?
Jibu: Kwa mwendelezo.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23364/هل-ركعتا-الضحى-سنة-موكدة
Imechapishwa: 04/01/2024
https://firqatunnajia.com/dhuhaa-ni-sunnah-iliyosisitizwa/