Swali: Tunawasikia baadhi ya watu wakisema:
أقامها الله وأدامها
“Allaah aisimamishe na kuidumisha.”
Ni ipi hukumu ya hilo?
Jibu: Imepokelewa katika Hadiyth kutoka kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) kwamba pale muadhini anaposema:
قد قامت الصلاة
“Swalah imesimama.”
Akasema:
أقامها الله وأدامها
“Allaah aisimamishe na kuidumisha.”[1]
Lakini Hadiyth ni dhaifu haijengewi hoja.
[1] Abu Daawuud (01/411) na al-Baghawiy katika ”Sharh-us-Sunnah” (02/288). Haafidhw amesema katika “at-Talkhiysw” (01/211) amesema:
“Dhaifu.”
Ni dhaifu kwa mujibu wa al-Albaaniy katika “al-Irwaa´” (01/258).
- Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Arkaan-il-Islaam, uk. 287
- Imechapishwa: 04/05/2020
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket