Swali: Ni ipi hukumu ya mwanamke kupanda gari na dereva ajinabi?
Jibu: Haijuzu. Hii ni faragha. Haifai kwake kupanda gari na mwanaume ambaye sio Mahram wake. Hii ni faragha. Amesema (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
“Mwanaume hatokuwa faragha na mwanamke isipokuwa watatu wao atakuwa ni shaytwaan.”[1]
[1] at-Tirmidhiy (2165).
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Liqaa’-ul-Jumu´ah bit-Twaa’if http://alfawzan.af.org.sa/ar/node/17101
- Imechapishwa: 24/09/2017
Swali: Ni ipi hukumu ya mwanamke kupanda gari na dereva ajinabi?
Jibu: Haijuzu. Hii ni faragha. Haifai kwake kupanda gari na mwanaume ambaye sio Mahram wake. Hii ni faragha. Amesema (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
“Mwanaume hatokuwa faragha na mwanamke isipokuwa watatu wao atakuwa ni shaytwaan.”[1]
[1] at-Tirmidhiy (2165).
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Liqaa’-ul-Jumu´ah bit-Twaa’if http://alfawzan.af.org.sa/ar/node/17101
Imechapishwa: 24/09/2017
https://firqatunnajia.com/dereva-mwanamke-na-shaytwaan/