Swali: Kuna mlinganizi mkenya ambaye aliletewa maombi azungumzie Uislamu na fadhila zake ndani ya kanisa. Je, inajuzu kwake kufanya hivo?
Jibu: Ndio. Aingie kanisani na alinganie katika Uislamu na abainishe ubora wake. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alikuwa akihudhuria vikao vya washirikina na akilingania kwa Allaah (´Azza wa Jall).
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (70) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Ighatsah%20-%2019%20-0%207%20-%201438.mp3
- Imechapishwa: 10/09/2017
Swali: Kuna mlinganizi mkenya ambaye aliletewa maombi azungumzie Uislamu na fadhila zake ndani ya kanisa. Je, inajuzu kwake kufanya hivo?
Jibu: Ndio. Aingie kanisani na alinganie katika Uislamu na abainishe ubora wake. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alikuwa akihudhuria vikao vya washirikina na akilingania kwa Allaah (´Azza wa Jall).
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (70) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Ighatsah%20-%2019%20-0%207%20-%201438.mp3
Imechapishwa: 10/09/2017
https://firqatunnajia.com/dawah-kanisani/