Swali: Kuna walinganizi wa kike ambao wanaeneza darsa zao katika mitandao ya kijamii ili wanamme na wanawake wote wasikilize. Je, kitendo hichi kimewekwa katika Shari´ah?
Jibu: Ikiwa sauti zao ni zenye kufitinisha, haijuzu. Lakini ikiwa sauti zao si zenye kufitinisha, haina neno.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (28)
- Imechapishwa: 05/02/2022
Swali: Kuna walinganizi wa kike ambao wanaeneza darsa zao katika mitandao ya kijamii ili wanamme na wanawake wote wasikilize. Je, kitendo hichi kimewekwa katika Shari´ah?
Jibu: Ikiwa sauti zao ni zenye kufitinisha, haijuzu. Lakini ikiwa sauti zao si zenye kufitinisha, haina neno.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (28)
Imechapishwa: 05/02/2022
https://firqatunnajia.com/darsa-za-wanawake-katika-mitandao-ya-kijamii/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)