Swali: Mwanamke akitokwa na damu ya hedhi kinyume na wakati wake. Damu hiyo ina sifa ya hedhi. Je, aichukulie kuwa ni hedhi au istihaadhah?
Jibu: Ikiwa kawaida yake imebadilika, wakati mwingine hutokea hili ikabadilika kwa kuzidi na kupungua. Ikiwa jambo hili linamkariria kwake, ina maana ada yake imebadilika muda wake. Inaweza kuchelewa pia.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (72) http://www.alfawzan.af.org.sa/node/14085
- Imechapishwa: 17/11/2014
Swali: Mwanamke akitokwa na damu ya hedhi kinyume na wakati wake. Damu hiyo ina sifa ya hedhi. Je, aichukulie kuwa ni hedhi au istihaadhah?
Jibu: Ikiwa kawaida yake imebadilika, wakati mwingine hutokea hili ikabadilika kwa kuzidi na kupungua. Ikiwa jambo hili linamkariria kwake, ina maana ada yake imebadilika muda wake. Inaweza kuchelewa pia.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (72) http://www.alfawzan.af.org.sa/node/14085
Imechapishwa: 17/11/2014
https://firqatunnajia.com/damu-ya-hedhi-inayotoka-kinyume-na-wakati-wake-uliozoeleka/