Swali: Wanaojuzisha filamu na maigizo ya michezo kwa kitendo cha Malaika kujigeuza umbila la mwanaadamu wana mtazamo wa sawa kwa hilo?
Jibu: Huku ni kuyapotosha maneno mahala pake. Malaika wanajigeuza kwa umbile la mwanaadamu kwa kuwa sisi hatuwezi kuwaona. Kuhusu filamu – je, wewe huwezi kumuona yule muigizaji mpaka ajigeuze sura ya [sauti haiko wazi] au ngedere? Wewe huwezi kumuona mwanaadamu? Huku ni kuyapotosha maneno mahala pake. Hii sio dalili ya kujuzu kwa filamu.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Furqaan (16) http://alfawzan.af.org.sa/node/2059
- Imechapishwa: 30/04/2017
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket