Swali: Nini maana ya maneno Yake Allaah (Ta´ala):
وَاتَّقُوا اللَّـهَ ۖ وَيُعَلِّمُكُمُ اللَّـهُ
“Mcheni Allaah na Allaah anakufunzeni.”[1]?
Je, inasihi hii kuwa ni dalili inayowasapoti baadhi ya makundi, kama vile Jamaa´at-ut-Tabliygh, ambao wanatoka kulingania pasi na elimu kwa kutumia hoja Aayah hii?
Jibu: Aayah hii iko dhidi yao. Inasema:
وَاتَّقُوا اللَّـهَ
“Mcheni Allaah.”
Miongoni mwa kumcha Allaah ni mtu kujifunza elimu na asizungumze pasi na elimu, asimsemee Allaah pasi na elimu na asilinganie katika Bid´ah na mambo mepya. Huyu hakumcha Allaah (Subhaanahu wa Ta´ala).
[1] 02:282
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://alfawzan.af.org.sa/node/13189 Tarehe: 1432-01-18/2010-12-24
- Imechapishwa: 26/05/2022
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)