Swali: Ni ipi hukumu ya kutoa rushwa iwapo haki yangu inayotambulika au fidia yangu iliyoamuliwa haitapatikana isipokuwa kwa njia ya rushwa?
Jibu: Haijuzu kutoa rushwa, kwa kuwa kufanya hivo maana yake ni kusaidia katika batili. Kusaidia kupoteza haki na kuwadhulumu watu. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
”Allaah amemlaani mwenye kutoa rushwa na mwenye kupokea.”
Vilevile mpatanishi kati yao pia. Hivyo haijuzu kushirikiana katika batili na maasi. Bali dai haki yako kwa njia ya Kishari´ah. Ikiwa kuna mtu anakuzuia, peleka jambo lake kwa wenye mamlaka na umuanike kwa uzembe wake. Usimsaidie katika maasi ya Allaah kwa hongo.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/30098/حكم-الرشوة-لمن-لا-يمكنه-تحصيل-حقه-الا-بها
- Imechapishwa: 07/09/2025
Swali: Ni ipi hukumu ya kutoa rushwa iwapo haki yangu inayotambulika au fidia yangu iliyoamuliwa haitapatikana isipokuwa kwa njia ya rushwa?
Jibu: Haijuzu kutoa rushwa, kwa kuwa kufanya hivo maana yake ni kusaidia katika batili. Kusaidia kupoteza haki na kuwadhulumu watu. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
”Allaah amemlaani mwenye kutoa rushwa na mwenye kupokea.”
Vilevile mpatanishi kati yao pia. Hivyo haijuzu kushirikiana katika batili na maasi. Bali dai haki yako kwa njia ya Kishari´ah. Ikiwa kuna mtu anakuzuia, peleka jambo lake kwa wenye mamlaka na umuanike kwa uzembe wake. Usimsaidie katika maasi ya Allaah kwa hongo.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/30098/حكم-الرشوة-لمن-لا-يمكنه-تحصيل-حقه-الا-بها
Imechapishwa: 07/09/2025
https://firqatunnajia.com/dai-haki-yako-kwa-njia-nyingine-si-rushwa/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket
